text stringlengths 1 464 |
|---|
Mkiwa mnapikamsiweke chumvi kingi |
Tulishikwa na mafua sote |
Twataka tujue walitoka wapi |
Pigisha godoro jua |
Nataka mtu anioshee blanketi |
Mmeskia neno la leo |
Wamesema nisipike wamefunga |
Watu wamefurahi kwasababu wamepewa chakula cha bure |
Tumbiri zilitukujia usiku |
Bibi anachimba mihogo za watu |
Maneno yote unayosema ni mazuri |
Ongeeni vizuri kwa watoto wenu |
Acheni kupiga watoto wa watu |
Tuwache kuuwa watotot na maneno |
Vyombo zao ni chafu sana |
Vitu za bure ni tamu sana |
Uangalie mtoto wako njia zake |
Watu wawili walishikwa wakiiba mabati |
Nimeingiza kuku ndaniya banda lake |
Mimi sina shida na mtu |
Ukikasirika ni vizuri unyamaze |
Muue mbu zote |
Wananyunyuzia shamba zao maji |
Joto imejaa kila mtu anatoa jasho |
Kuna jiko linapika na kuni |
Kuna mtu alikutuma kwangu |
Alikuwa kwa mnyama |
Wameweka wanyama nyumbani mziangalie vizuri |
Mnunulie ng'ombe zenu chumvi |
Umbwa iko shambani imalala |
Watu wengine wanachezea kiwanja chote |
Naenda kuangalia shamba |
Waliposkia wamejifunguamtoto wa kiume walifurahia |
Mwambieni nlikuja jana |
Inafaa tuongee juu ya njia zimeharibika |
Nikifikiria mahali nimetoka naskia kutoa machozi |
Alipotezakila kitu chake |
Siku zaoza kufurahia yaliisha |
Alikuwa anafanya wenzao wakasirike |
Alipiga magoti kuomba msamaha |
Hataki kucheza na watoto wangu |
Mtu wake alikuja kosa pombe |
Wagombeza watu bure bure |
Ukipata za siku sema asante |
Alikataa kuombea chakula |
Aliambiwa awache uwongo zake zimekuwa nyingi |
Mkishindwa kulea watoto wenu msiwatupe |
Toa nguo zako niweke zangu |
Amepasuka kisigino ukiweka pesa inakwama |
Ana mikono migumu kama kuni |
Anasinywa na mke wa wenyewe na huwa anawasaidia |
Huyu mtoto huwa anaenda akisimama na njia |
Watu wengine wakubwa wana mafikira kama watoto |
Wanashinda wakilia usiku na mchana |
Alikuja julikana huwa wanafanya kusudi |
Sikuizi watoto wanadharau watu wakubwa |
Wanangojeaapate kazi ndio aowe |
Nyani haijui matako yake |
walikula kabisa nyama zote na mifupa hata ya umbwa |
Midomo yao imejaa mambo |
Walipokuja walifanya mbuzi ikakonda kweli |
Anakunya mavi magumu kama ya punda |
Kupalilia huwa kunachokesha mikono |
Wakiamka huwa wanapata pesa kwa mikono |
Hii mbuzi imezoea kupanda miti |
Aliumwa usiku mzima ila bado hajajifungua |
Wanatoa jasho kama chura |
Kumekauka wamekata miti wapatie mifugo zao |
Alikuwa anasumbuliwa ma tumbo kutoka akiwa mdogo |
Niliacha kazi nlipoenda nyumbani |
Walikuja ongezewa pesa |
Ilipofika masaa alitaka aliamka akaenda |
Akila nyama anafura mwili mzima |
Ukipanda uchague mbegu vizuri |
Uwaambie wakija wanakuwa wakali |
Ma mkwe wake akija huwa hatoki inje |
Huyu mwanmke anazunguka sana |
Joto imejaa leo |
Ameenda akaacha watoto nyumbani |
Watu wote wanashangaa nahii inchi vile imebadilika |
anatokwa na jasho mwili wote |
Vitu zake akipatia watu huwa wanazitupa |
Watu wanamwita mchawi |
Siku zijazo watu watakuwa na shida |
Wameeka kuku ila hawajui kuzifuga |
Leo tumelala njaa |
Waliulizwa lakini wakakataa |
vinamasi vyote zimekauka maji |
Nimekatwa na kisu vidole |
Watu wote hawafanani |
Mtu mwingine akiwa anaongea hataki watu wengine waongee |
Alipokuja kuhubiri watu walienda wote |
Kazi yoyote ifanye na roho yako yote |
Watu wengine hatuna wa kututetea |
Walinichimbia shimo wangaingia wenyewe |
Alipopata mtoto aliacha kazi |
Alipewa chakula kikamuua |
Maneno yangu |
Kutoka nimezaliwa sijaona hizi shida |
Ukae chini ujiulize maswali ya maisha yako |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.