text
stringlengths
1
464
Walipeana uwanja wao kwa sababu uko njiani
Watu wakishikana hawatajulikana shida zao
Alienda kutafutia mtoto nguo
Lazima mvua ikinyesha avae nguo za moto
Kulala jikoni unapata joto
Yule mtu alimnunulia mtu wake nyumba
Alisema na mdomo wake hataoa
Nyuki walitoka mtini wote
Meno yake yametoboka yote
Leo nimechoka kushinda siku zote
Maji yako motoni
Usisahau kunywa dawa zako
Vitu vimepandishwa tumechoka na dunia
Leo nilienda mbali miguu inawaka moto
Paka hataki kumla panya
Alipolisha alienda nyumbani bila kufunga zizi
Maziwa ya mbuzi yamemwagika
Siku hizi watu waambiane ukweli
Huwa anauza kuku wake nchi za nje
Amebeba kibuyu kichwani
Ameamka akapata watu wote wamemkataa
Wacheni tuchague wakubwa wengine
Amekula ila hajashiba
Jua limewaka hata mboga zimekauka
Aliingilia mji wa watu akapigwa
Manyoya ya paka si mazuri
Nilifanya na yeye kazi si mbaya
Ametufunga macho na maneno yake
Nguo zangu za kuosha ni nyingi
Ukiambiwa ukweli usiudhike
Watu wameanza kupika ugali
Nashindwa kuwaambia mambo yao yote
Leo watu wanachunga nyani
Watoto wa jana wamekuwa wakubwa
Eneo la Mwanda wazee ni wengi san
Alisomeshwa alipomaliza akamkataa
Akilewa ndo ataongea
Wamasai wanajua kuchoma nyama
Huyu mtu akienda matangani huwa anabeba pilipil
Uwaambie watoto wasikate kucha kwa meno
Watu wengi hawamjui ni mwizi
Wako watu wakiona kila kitu kwa watu wanataka
Watu wengi walishindwa na mambo yao
Alimgombeza mama mkwe wake mpaka akalia
Huyu mtu aliyeekwa mkubwa anafanya watu wapatwe na shida
Watu wanapaswa kukaa kwao
Aliolewa kwa nguvu kwa sababu amezeeka
Watu wakiwa na mkutano huwa wanakutana
Munaonea bibi ya watu
Uende uangaliwe mwili wote
Huyu mzee hajulikani mambo yake
Nguo yake iliibwa
Alinisingizia eti nilikataza watu wasimlimie shamba lake
Mmeyamaliza aje haya maneno?
Alisema anaenda mwenyewe kuliona hilo shmba
Watu wengi huwa wanajipa shughuli isiyo yao
Huwa unacheka wenzako tunangoja kwako
Mlale ndani ya neti mbu wamekua wengi
Ni mara ngapi mtu huyu aliwadanganya
Alisema nikutane kwao kwa sababu ya mahari yake
Leo tulitaka hayo maswali wanauliza yasemwe yote
Ukitaka kuenda vizuri usiseme maneno ya watu
Nilikuwa nataka nije unisaidie kupanda
Kiuone changu kimekataa kuinama
Nguo zangu zimenishinda kuosha mikono haishiki
Usikimbie majaribu yakija
Nitaitwa niende kupalilia shamba lake
Leo nimekusalimia ukanyamaza kimya
Nina shida nimekataliwa na mke wangu
Huwa anapika sima na nyungu
Chakula kikipakuliwa watoto wanakila na moto hivyo hivyo
Labda yule mhuburi alizaliwa lini?
Nataka nikugeuze uwe mtu mzuri
Mimi sijui ni nini ilifanyika kwako
Alikutana na punda ambaye hajakula akampiga mateke
Hakukukuwa na chochote jana
Haya mahindi hujayachuja vizuri
Wazee wengine wa kitambo ni wachawi
Walimchoma eti ni mwizi
Watu wengine wanawaficha watoto wasio na akili
Watoto walinyimwa chakula siku tatu wakaenda kwao
Wanaongea kama ndege
Mvua inaonesha kuja lakini inapita
Mawingu yanakuja kwa hivyo mvua itakuja
Wanawake wameharibu watoto wao na kuwabembeleza
Mtoto vile utamlea ndivyo atakua
Utashinda ukijificha mpaka lini siku zimeenda
Kukaa peke yako siku zako za kukaa duniani zinapungua
Watu wengine wameshindwa na kina baba na mama wao
Kila kitu ueke kwenye karatasi
Watu wamejaribu mambo mengi siku hizi za shida
Kuna ugali wa jana
Bora wale hawajazaliwa bado
Oshea vidole nje
Kazi ya kugombeza watu tu
Wanakunywa pombe na kupokonya watu chakula
Watu wengine wamekataa kuongea maneno yao
Huwa unafanya kazi hapa
Natafuta njia ya kwenda nchi za nje
Vile uko ndani ndo uko nje